AJALI YA HELICOPTER : MAKAMU WA RAIS DK. BILAL, KOVA, MKUU WA MKOA WA DAR NA DK. MAGUFULI. WANUSURIKA NA AJALI YA HELICOPTER - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


13 Apr 2014

AJALI YA HELICOPTER : MAKAMU WA RAIS DK. BILAL, KOVA, MKUU WA MKOA WA DAR NA DK. MAGUFULI. WANUSURIKA NA AJALI YA HELICOPTER


Makamu wa Rais Dk Gharibu Bilal, Kamanda wa Kanda maalumu ya Dar Es Salaam, Sulemani Kova na Waziri wa Ujenzi Dkt John Pombe Magufuli wamenusurika kufa mara baada ya helikopta ya jeshi waliyokuwa wakitumia kwaajili ya kuzunguka kujionea athari ya mafuriko iliyosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha jijini Dar Kuanguka katika Uwanja wa ndege wa jeshi uliopo jijini Dar Es Salaam. Imedhibitishwa ni kweli kupitia TBC walio nusurika ni

1. Makamu wa Rais, Dr. Bilal

2. Mkuu wa mkoa wa Dar, Sadik

3. Mkuu wa polisi Kanda Maalum, Kova

Wamepata majeraha kidogo walikuwa wakikaguwa athari za mvua jijini

Habari zaidi zitaendelea kuwajia

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad