BURUDANI NDANI YA JIJI LETU:KITAMBI NOMA BINGWA KATIKA BONANZA LA PASAKA LILILOFANYIKA JIJINI, ARUSHA - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


23 Apr 2014

BURUDANI NDANI YA JIJI LETU:KITAMBI NOMA BINGWA KATIKA BONANZA LA PASAKA LILILOFANYIKA JIJINI, ARUSHA




mkuu wa wilaya ya Hai Novatus Makunga akiwa anasalimiana na wachezaji wa timu   Mango Garden ya jijini Dar es salaam wakati walivyokuja kushiriki bonanza la kitambi noma lililofanyika katika kiwanja cha kumbukumbu ya sheikh Amri Abeid ya jijini Arusha


katika bonanza hili la kitambi noma kuliuzuriwa na watu wengi akiwemo mmbunge wa jimbo Meatu  kupitia CHADEMA Aliyevaa tisheti ya blue Mh. Meshack Opulukwa

kulikuwepo pia na mashindano ya kukimbia na magunia  ambapo katika mashindano haya mchezaji kutoka timu ya Mango Garden alishinda


  washabiki wa timu ya kitambi noma ya jijini Arusha wakishabikia ushindi mara baada ya kushinda kukimbiza kuku


wachezaji w timu ya Benson kampani  wakivuta kamba




wadau wa timu ya kitambii noma wakiwa pamoja na mdada wa libeneke la kaskazini katika bonanza la kitambi noma siku ya pasaka


Mheshimiwa mkuu wa Wilaya ya Hai Novatus Makunga akiwa na mdada wa libeneke la kaskazini Blog (Woinde Shizza) wakati wa bonanza la pasaka lililoandaliwa na timu ya kitambi noma ya jijini Arusha ambapo mkuu wa wilaya ni mwanachama wa klabu hiyo

mambo ya nyama choma nayo yalikuwepo . Picha na Woinde Shizza wa Blogu ya Wazalendo 25

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad