MIRADI YA KIJAMII :MIRADI YA MAENDELEO YA KILIMO CHA UMWAGILIAJI YAFANIKIWA MKOANI ARUSHA - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


4 Apr 2014

MIRADI YA KIJAMII :MIRADI YA MAENDELEO YA KILIMO CHA UMWAGILIAJI YAFANIKIWA MKOANI ARUSHA

Afisa Miradi wa IFAD nchini Dkt. Mwatima Juma pamoja na waratibu wa miradi mbalimbali akitoa maelezo kwa wakulima (Kulia) wanaotumia Skimu ya Maji ya Kabambe iliyopo katika jinsi ya kujipanga katika kilimo na kutunza chanzo cha Skimu hiyo iliyopo katika Wilaya ya Monduli katika kata ya Majengo Mkoani Arusha.

 Skimu ya Maji ya Kabambe iliyojengwa  katika Wilaya ya Monduli kata ya Majengo kuwasaidia wakulima kupata maji kwa ajili ya kilimo cha Mahindi, Ndizi na Mbogamboga, ikiwa ni sehemu ya miradi inayoratibiwa na ASDP na kusimamiwa na wadau wa maendeleo IFAD .
Mojawapo ya Shamba la Nyanya linalotumia Skimu ya Maji ya Kabambe inayoratibiwa na Miradi ya ASDP katika Wilaya ya Monduli.  
 Shamba la Mbogamboga la Wakulima wa Monduli wanaotumia  Skimu ya Maji ya Kabambe  ikiwa ni sehemu ya mafanikio ya miradi ya ASDP inayosimamiwa na wadau wa maendeleo IFAD

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad