SENSA YA MAKAZI: MAFUNZO YA UANDISHI BORA WA TAARIFA ZA KINA WAFANYIKA JIJINI ARUSHA - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


8 Apr 2014

SENSA YA MAKAZI: MAFUNZO YA UANDISHI BORA WA TAARIFA ZA KINA WAFANYIKA JIJINI ARUSHA

Wataalam kutoka sehemu mbalimbali wakiwa kwenye picha ya kwanza mara baada ya ufunguzi wa mafunzo ya namna ya uandishi bora wa taarifa za kina (thematic reports) zinazotokana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, ambapo mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa SG Northern Resort uliopo Jijini, Arusha.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad