Wataalam kutoka sehemu mbalimbali wakiwa kwenye picha ya kwanza mara baada ya ufunguzi wa mafunzo ya namna ya uandishi bora wa taarifa za kina (thematic reports) zinazotokana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, ambapo mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa SG Northern Resort uliopo Jijini, Arusha.
SERIKALI KUANZISHA MFUMO WA PAMOJA KODI YA JENGO NA ARDHI
-
Na. Josephine Majura, WF, Dodoma
Serikali imesema kuwa inaandaa mfumo wa kielektroniki wa kutoa ankara ya
pamoja kwa huduma zinazolandana ili kuondoa us...
57 minutes ago
No comments:
Post a Comment