VYANZO VYA MAPATO :DKT. JAKAYA KIKWETE AFUNGUA OFISI YA MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA) KARATU - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


23 Apr 2014

VYANZO VYA MAPATO :DKT. JAKAYA KIKWETE AFUNGUA OFISI YA MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA(TRA) KARATU


D92A6774 
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Mbunge wa Karatu mchungaji Israeli Natse(Watatu kushoto),Waziri wa Maji Profesa Jumanne Maghembe(Wapili kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Arusha Magesa Mulongo(kushoto) na Mkurugenzi wa Utumishi na utawala wa TRA aliyemwakilisha Kamishna mkuu wa TRA Bwana Abubakari Kunenge(wapili kulia) na kulia ni mwakilishi wa ofisi ya TRA Mkoa Bi.Caroline Ntuku(picha na Freddy Maro)D92A6757 
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi kuashiria kufungua rasmi ofisi ya Mamlaka ya mapato Wilaya ya Karatu mjini Karatu.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad