PIGA KURA :SASA UNAWEZA KUWAPIGIA KURA WASHIRIKI WA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) UWAPENDAO KUPITIA UKURASA WA FACEBOOK - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


23 Jul 2014

PIGA KURA :SASA UNAWEZA KUWAPIGIA KURA WASHIRIKI WA SHINDANO LA TANZANIA MOVIE TALENTS (TMT) UWAPENDAO KUPITIA UKURASA WA FACEBOOK


KAMA BADO HUJALIKE UKURASA WETU WA FACEBOOK UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KULIKE UKURASA WETU KWA KUFUATA KIUNGANISHI HIKI
https://www.facebook.com/tztmt ukishalike ukurasa wetu fuata hatua hizo chini
 Ukurasa wetu ukifunguka Unaonekana kama Picha inavyoonyesha juu hapo Utafata hatua ya Kwanza kama ilivyoonyeshwa kwenye picha hizo.
Ukishamaliza kumpigia kura mshiriki umpendae kwa kubofya kitufe kilichoandikwa VOTE utapokea ujumbe mfupi kwenye kioo chako na utakuwa tayari ushampigia kura

Hatimae Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) hapo Jana  limezindua huduma ya kuwawezesha Watazamaji wa Vipindi vya TMT pamoja na wapenzi wa Shindano hilo huduma ya kumpigia kura mshiriki au washiriki wanaowavutia kupitia ukurasa wa facebook wa TMT, Hatua hiyo imekuja mara baada ya kuona kuwa Shindano hili limetokea kuwa kivutio kikubwa cha Watanzania wengi waliopo ndani na nje ya Nchini ambao wanafuatilia kwa Ukaribu sana shindano hili na hatimaye wengine kukosa nafasi ya kuwapigia kura washiriki wanaowavutia kutokana na Kushindwa kutumia huduma ya SMS. Kwa kuona umuhimu wa watazamaji wetu TMT ikaamua kuleta huduma hii karibu ili kuwawezesha watazamaji na wapenzi wengi wa TMT kuweza kuwapigia kura washiriki wawapendao. Sasa Watazamaji wa TMT wanaweza kuwapigia Kura washiriki kwa Kufuata Hatua hizi Hapo Juu

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad