MAONYESHO :MAONESHO YA NANE NANE MKOANI ARUSHA WANANCHI WAFURIKA BANDA LA BALTON KUJIFUNZA KILIMO NA UFUGAJI - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


5 Aug 2014

MAONYESHO :MAONESHO YA NANE NANE MKOANI ARUSHA WANANCHI WAFURIKA BANDA LA BALTON KUJIFUNZA KILIMO NA UFUGAJI


 Ofisa Mauzo wa Vifaa vya Kilimo wa Kampuni ya Balton Tanzania, Moses Lembris (kulia) akitoa maelezo kwa baadhi ya wananchi wa jijini Arusha, waliofika katika Banda la kampuni hiyo, kwenye maonesho na Sikukuu ya Wakulima Nane Nane, yanayoendelea kwenye Viwanja vya Themi jijini Arusha,leo. Picha na www.sufianimafoto.com
 Mtaalamu wa Kilimo wa kampuni ya Balton, Jane Remmy, (kushoto) akitoa maelezo ya jinsi ya kuotesha miche mboga mboga kwa baadhi ya wananchi, waliofika kwenye banda la maonesho ya Nane nane jijini Arusha leo. 
  Mzee wa Sufianimafoto.com  naye hakuwa mbali kupata ujuzi wa kilimo katika banda hilo.
 Maelezo yakiendelea......
 Jane Remmy (kulia) akionesha jinsi wanavyootesha matango...
 Linda Byaba,akiangalia miche ya Maharage....
 Bwawa la kutengeneza la kufugia samaki ama kutumika kumwagilia bustani ya mbogamboga....
 Lango Kuu la kuingilia banda la Balton.....
 Wakazi wa arusha wakimiminika katika viwanja vya maonesho vya Themi.....
 Pia makulaji katika anga hizo kulikuwa ni hatareeeeee
 Kinamama wakiuzaasali.....

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad