WANA DIASPORA WETU : RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA KWANZA WA DIASPORA JIJINI DAR ES SALAAM - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


16 Aug 2014

WANA DIASPORA WETU : RAIS KIKWETE AFUNGUA MKUTANO WA KWANZA WA DIASPORA JIJINI DAR ES SALAAM


Hotuba ikiendelea
Mwenyekiti wa Tanzania Diaspora Initiative Bw. Emmanuel Mwachullah akimpongeza Rais Kikwete kwa hotuba nzuri ya ufunguzi wa mkutano huo
Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda akimpongeza Rais Kikwete kwa hotuba murua
Mratibu wa Diaspora katika Ofisi ya Waziri Mkuu Bi. Suzan Mzee akitoa maelezo. Pembeni yake ni Bw. Constantine Magavillah, mmoja wa wajumbe wa kamati ya maandalizi
Rais Kikwete akibofya kitufe kuzindua rasmi tovuti ya Diaspora http://www.tanzaniadiaspora.org/
Vifijo baada ya uzinduzi wa tovuti hiyo ya http://www.tanzaniadiaspora.org/
Rais Kikwete, Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda, Mwenyekiti wa Tanzania Diaspora Initiative na Kaimu Mkurugenzi wa Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mama Rose Jairo katika picha ya kumbukumbu na kamati ya maandalizi ya mkutano huo
Rais Kikwete, Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda, Mwenyekiti wa Tanzania Diaspora Initiative na Kaimu Mkurugenzi wa Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mama Rose Jairo katika picha ya kumbukumbu na Wana-Diaspora kutoka nchi za Ulaya
Rais Kikwete, Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda, Mwenyekiti wa Tanzania Diaspora Initiative na Kaimu Mkurugenzi wa Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mama Rose Jairo katika picha ya kumbukumbu na Wana-Diaspora kutoka nchi za Asia
Rais Kikwete, Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda, Mwenyekiti wa Tanzania Diaspora Initiative na Kaimu Mkurugenzi wa Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mama Rose Jairo katika picha ya kumbukumbu na Wana-Diaspora kutoka Uingereza

Rais Kikwete, Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda, Mwenyekiti wa Tanzania Diaspora Initiative na Kaimu Mkurugenzi wa Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mama Rose Jairo katika picha ya kumbukumbu na Wana-Disapora kutoka nchi za Afrika
Rais Kikwete, Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Pinda, Mwenyekiti wa Tanzania Diaspora Initiative na Kaimu Mkurugenzi wa Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mama Rose Jairo na Bw. Damien Thereaux, mkuu wa taasisi inayoshughulikia wakimbizi ya International Organisation for  Migration (IOM) katika picha ya kumbukumbu baada ya ufunguzi wa mkutano huo
Rais Kikwete akiagana na Wana-Diaspora baada ya kufungua mkutano wao
Rais Kikwete akisalimiana na Mwakilishi wa Diaspora katika Bunge la Katiba  Bw. Kadari Singo
Rais Kikwete akisalimiana na kiongozi wa Jumuiya ya Watanzania China
Rais Kikwete akisalimiana na Mwana-Diaspora kutoka Uingereza
Rais Kikwete akiongea na  Wana Disapora
Rais Kikwete akipata selfie na Mwana Diaspora
Rais Kikwete akisalimiana na Mwana-Diaspora Ali Muhidin kutoka Uingereza
Wana-Diaspora wakiendelea kumsalimia Rais Kikwete
Rais Kikwete akipeana mikono na Mariam Kilumanga, Mwana Diaspora kutoka Uingereza
Rais Kikwete akisalimiana na Mwana-Diaspora na msanii Francia Chengula kutoka Reading, Uingereza
Rais Kikwete akiaganba na Wana-Disapora
Wana-Diaspora to Uingereza Francia Chengula, Mariam Mungula na Mariam Kilumanga wakionesha kufurahishwa na mkutano huo wa kwanza wa aina yake hapa nchini
Rais Kikwete akisalimiana na mwanakamati Constantine Magavillah
Rais Kikwete akiagana na Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Bw. Nehemia Mchechu.
Rais Kikwete akisalimiana na Mwana-Diaspora Amos Msanjila
Rais Kikwete akisalimiana na Bi  Angela Msangi wa TBC

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad