KITUKO CHA STAA WETU : DIAMOND PLATNUMZ AOKOLEWA NA POLISI HUKO UJERUMANI - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


1 Sept 2014

KITUKO CHA STAA WETU : DIAMOND PLATNUMZ AOKOLEWA NA POLISI HUKO UJERUMANI




KAFIKA UKUMBINI SAA 10 ALFAJIRI ! WASHABIKI WANASURI SHOW TANGU SAA 4 USIKU

PROMOTA MNAIJERIA AINGIA MITINI ,DJ APATA KISAGO HETI VYOMBO VIBOVU ! HAIBU

Stuttgart,Ujerumani,
Usiku wa Jumamosi ya Tarehe  30.Augost 2014, majira ya saa 10 alfajiri
Mwanamuziki nyota wa Bongo Flaver  Nasib Abdul aka Diamond Platnumz alijukuta katika hali ya hatari hadi kuokolewa na Polisi mjini Stuttgart,ujerumani,baada ya washabiki waliokuwa na hasira kuchoka kusubiri show,washabiki hao waliokuwa wamelipa ticket euro 25 kwa kiingilio walihadiwa kuwa show ingeanza saa 4.00 usiku,lakini walijukuta wakisubiri hadi majira ya saa10 usiku au alfajiri ndipo mwanamuziki Diamond alipoletwa jukwaani na promota wake raia wa Nigeria anajiita kama Britts Event.
Hapo ndipo washabiki walipoona kuwa hawakutendewa haki walianza kurusha chupa na kutaka kumvamia mwanamuziki  Diamond na promota wake,
Kilichowakera zaidi washabiki ni pamoja na vyombo vibovu vilivyofungwa katika ukumbi huo kitu ambacho kiliwafanya washabiki kuvunja hadi vyombo vya muziki
ma-Djs walishambuliwa na wapo Hosptalini kwa sasa.moja wa Djs hao alipoteza Lap top yake ,mwanadada DJ  Flor alipatwa shock mstuko wa moyo na kukimbizwa hosptali, washabiki hao walimpa kipigo  DJ Drazee naye yupo hoi hospatal. Polisi nchini ujerumani wanamesema tukio hili la haibu alijawahi kutokea,kuwa msanii kuchelewa kufika jukwaani kwa ujerumani ni kitu cha hatari kwani washabiki wa ujerumani wanaheshimu sana muda wao.
mpaka sasa polisi wanamsaka mwandaaji wa onyesho hilo na wamesema kuwa
wanachunguza thamani ya hasara hiliyosababishwa na ghasia hizo na pia itamfungulia mashataka promoter huyo raia wa Nigeria,ambaye pia anachunguzwa kwa kusemekana anajihusisha na mtandao fulani wa biashara.

Magazeti ya Stuttgart; yameandika "Washabiki wa hasira nawe DIAMOND"  link:

http://www.stuttgarter-nachrichten.de/inhalt.blaulicht-aus-der-region-stuttgart-31-august-diamond-platnumz-zieht-aerger-der-fans-auf-sich.ca1f4b9d-599b-4c95-84c8-fe25d10b6ed9.html
 BRITTS MAFIA HITS STUTTGART,GERMANY AGAIN !!



THE AFRICAN DIASPORA IS STILL BLEEDING; 


 
BRITTS EVENTS – www.brittsevents.com
Owner: Awin Williams Akpomiemie – Nigerian Born

THE AFRICAN DIASPORA IS STILL BLEEDING; JUST A FEW MONTHS AGO WHEN THIS FRAUDULENT BASTARD DUPPED THE AFRICAN DIASPORA IN GERMANY; COLLECTING HUGE SUMS OF MONIES FOR A CONCERT WITH NIGERIAN HIP-HOP GROUP „BRACKET“ LEAVING THE CROWD ANGRY; FUSTRATED AND DISSAPPOINTED; THIS VERY IDIOT JUST DID IT AGAIN BUT THIS TIME SHALL NOT GET AWAY WITH IT:
WHILE THE AFRICAN DIASPORA IS TRYING HARD TO PROMOTE THE NEGATIVE IMAGE OF AFRICA IN GERMANY; BRITT EVENTS TAKES IT UPON HIMSELF TO BRING SHAME; FRAUD AND TARNISH THE GOOD REPUTATION OF THE DIASPORA IN GERMANY.
THIS TIME HE LANDED ON NASIB ABDUL AKA DIAMOND PLATINUMZ   – THE HIPHOP SINGER FROM EAST AFRICA WITH TWO CONCERTS;  STARTING WITH THE CAOTIC CONCERT IN ESSEN – GERMANY; AND THEN THE WORST CASE IN STUTTGART WHICH HAS BEEN THE MAIN TOPIC ON THE LOCAL NEWSPAPERS IN STUTTGART THIS MORNING
ANGRY CROWDS; MOST OF THEM WHO TRAVELLED FROM FAR AND PAID MUCH MONEY TO SUPPORT THEIR HOME ARTIST ONLY TO BE DUPPED; NO ARTIST TILL 4AM WHEN THEY STARTED VOILENCE ACTS OF DESTRUCTION; / AMBULANCE AND !/ POLICE FORCES STRUGLLED TO KEEP THE ANGRY MOB UNDER CONTROL WHICH MET WITH MUCH CASUALTIES AND MANY INJURED VICTIMS RECEIVING TREATMENT
WHAT A SCANDAL; SHAME; DISGRACE ON OUR CONTINENT AND THE AFRICAN DIASPORA AS A WHOLE: ONE THING IS VERY CERTAIN; THIS TIME BRITTS EVENTSMR WILLIAMS DUPE, DJ IKE… SHALL NOT GET AWAY WITH THIS; THIS IS GERMANY; NOT NIGER LOL…THESE BASTARD CANNOT TARNISH THE IMAGE OF AFRICA ESP TAKING THEIR OWN BROTHERS AND SISTERS FOR FOOLS
BRITTS EVENTS IS DEAD AND BURIED- BUNCH OF IGNORANT FOOLS AND SHAMLESS BLOODY LIARS WITH NO IDEA OF EXPERTISE IN EVENT MANAGEMENT.
FELLOW AFRICAN WATCH OUT – BRITTS EVENT IS A BLOODY FOOL AND NOBODY SHOULD FALL FOR SUCH FALLACY AGAIN; THERE´RE LOTS OF PEACEFUL AND WELL ORGANIZED EVENTS BY AFRICANS WITH EXPERTIZE IN EVENTS MANAGEMENT GOING ON IN GERMANY; STUTTGART ESPECIALLY; SO BE WARNED AND STAY AWAY FROM BRITTS EVENT!

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad