MATUKIO JESHINI :JK KATIKA SHEREHE YA KUTUNUKU NISHANI ZA KUMBUKUMBU YA MIAKA 50 YA JWTZ - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


8 Sept 2014

MATUKIO JESHINI :JK KATIKA SHEREHE YA KUTUNUKU NISHANI ZA KUMBUKUMBU YA MIAKA 50 YA JWTZ

 Viongozi wakisimama mguu sawa kwa wimbo wa Taifa baada ya zoezi la kutunuku Shahada
 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama wakiwa mguu sawa kwa wimbo wa Taifa
 Majenerali mbalimbali 
 Makamanda wa Jeshi la Magereza
 JWTZ Brass Band ikipiga wimbo wa Taifa
 Makamanda wakipiga saluti wakati wimbo wa Taifa ukipigwa
 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na majanerali
 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na Watunukiwa wastaafu na wawakilishi
 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na makamanda wastaafu baada ya picha na Watunukiwa 
 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na kamati ya maandalizi
 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete katika picha na wanahabari wa mkoa wa Arusha


 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na mke wa Rais wa awamu ya Pili Mama Hadija Mwinyi
 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na makamanda wakuu wa JWTZ
 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na makamanda wakuu wa JWTZ
 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na makamanda wakuu wa JWTZ
 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akiwa na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda, Rais wa Awamu ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Wazii wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi, Waziri Mkuu Mstaafu John Samwel Malecela,Waziri Mkuu Mstaafu Edrward Lowassa na Mkuu wa Mkoa wa Arush Mhe Magese Mulongo baada ya kuwasili katika Chuo cha Mafunzo ya Maafisa wa Jeshi Tanzania, Monduli, Mkoa wa Arusha
 Viongozi wa dini
 Viongozi wa dini
 Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Dkt. Florens Turuka na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Bw. George Yambesi na viongozi wengine 
 Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa tayari kutunuku shahada.
 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ, Mnadhimu Muu wa majeshi  ya Ulinzi nchini, Luteni Jenerali Samuel Albert Ndomba   katika sherehe  za kutunuku nishani zilizofanyika kwenye ukumbi wa   Jenerali Kiwelu wa Chuo cha Mafunzo ya Maafisa  wa Jeshi Tanzania, Monduli
 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ  Meja Jenerali Salum Mustafa Kijuu
 Amiri Jeshi Mkuu  Rais Jakaya Kikwete akimtunuku nishani  ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Jeshi la Wanachi wa Tanzania  JWTZ Meja Jenerali Joseph Furaha Kapwani . PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad