MFUKO WA JAMII : MKUTANO WA 24 WA WANACHAMA NA WADAU WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF WAMALIZIKA ,JIJINI ARUSHA. - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


12 Sept 2014

MFUKO WA JAMII : MKUTANO WA 24 WA WANACHAMA NA WADAU WA MFUKO WA PENSHENI WA PPF WAMALIZIKA ,JIJINI ARUSHA.

Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mh Mh Jowika Kasunga akifunga Mkutano wa 24 wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni Wa PPF uliomalizika, Jijini Arusha
Prof. Bakari Lembariti kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akitoa mada juu ya Tatizo la Meno wakati wa Mkutano wa 24 wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF uliomalizika leo katika Ukumbi wa Mikutano wa AICC, Jijini Arusha.
Mkurugenzi Mkuu Wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, William Erio akijibu Maswali ya Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF wakati wa Mkutano wa 24 wa wanachama na wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF unaotarajiwa kumalizika leo katika Katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC, jijini Arusha.
Dkt John Kisimbi kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akitoa Mada juu ya matatizo ya Jicho katika mkutano wa 24 wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF uliomalizika leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC, Jijini Arusha.
 Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF wakimpigia makofi mmoja wa watoa Mada katika Mkutano wa 24 wa wanachama na wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF uliomalizika leo katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa AICC, Jijini Arusha.
 Mwenyekiti wa Kamati ya Maswala ya Ukimwi kwa Kikundi cha Wabunge, Bi. Lediana Mng'ong'o, akitoa mada wakati wa Mkutano wa 24 wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF uliomalizika Leo Jijini Arusha.
 Wadau na wanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PPF wakifuatilia Mada katika Mkutano wa 24 wa Wanachama na wadau wa PPF uliomalizika leo Jijini Arusha. Meza kuu akifuatilia mada zilizokuwa zikionyeshwa katika Runinga kubwa (haipo pichani) wakati wa Mkutano Mkuu wa 24 wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF uliomalizika leo jijini Arusha katika Ukumbi wa Mikutano wa AICC.
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakifuatilia Mada katika Mkutano wa 24 wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF uliomalizika leo Jijini Arusha. Wa Kwanza Kulia ni Mbunge wa Jimbo la Kigamboni Faustine Ndugulile na Nyuma yake ni Mbunge wa Arumeru Mashariki Mh Joshua Nassari.
 Wadau na wanahabaari wakifuatilia kwa makini mada mbalimbali zilizokuwa zikitolewa na wachangiaji mada katika mkutano mkuu wa 24 wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF uliomalizika leo Jijini Arusha.
Wadau na wanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PPF wakifuatilia mada katika Mkutano wa 24 wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF uliomalizika leo Jijini Arusha.
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Mh William Erio akimkaribisha Mgeni rasmi ambae pia ni Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mh Jowika Kasunga (hayupo pichani)
Mh Vicky Kamata akipokea Cheti kwa niaba ya Bi. Lediana Mng'ong'o wakati wa Kufunga Mkutano wa 24 wa Wanachama na Wadau wa Mfuko wa Pensheni wa PPF uliomalizika leo jijini Arusha.
Picha Zote Na Josephat Lukaza wa Lukaza Blog, Arusha

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad