ELIMU YETU :CWT WAADHIMISHA SIKU YA WALIMU DUNIANI - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


17 Oct 2014

ELIMU YETU :CWT WAADHIMISHA SIKU YA WALIMU DUNIANI

Mratibu wa Uhakiki wa Ubora wa Elimu kutoka Shirika la Kijamii la Masuala ya Elimu (Haki Elimu), Robert Mihayo akitoa mada kuhusu Ubora wa Elimu Tanzania wakati wa semina ya maadhimisho ya Siku ya Walimu Duniani iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Semina hiyo iliandaliwa na TENMET kwa kushirikiana na Chama Cha Walimu Tanzania (CWT).
Mratibu wa Uhakiki wa Ubora wa Elimu kutoka Shirika la Kijamii la Masuala ya Elimu (Haki Elimu), Robert Mihayo akitoa mada kuhusu Ubora wa Elimu Tanzania wakati wa semina ya maadhimisho ya Siku ya Walimu Duniani iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Semina hiyo iliandaliwa na TEN/MET kwa kushirikiana na Chama Cha Walimu Tanzania (CWT).
Ofisa Mradi wa TEN/MET, Alistidia Kamugisha (kulia), Meneja wa Fedha na Utawala (TEN/MET), Beatrice Malya (katikati) na Mratibu wa TEN/MET, Cathleene Sekwao. 
Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
Neema Kitundu kutoka National Coordinator Fawetz.
Neema Kitundu kutoka National Coordinator Fawetz.
Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Ukaguzi wa Shule Wizara ya Elimu ya Ufundi ya Ufundi, Dk. Edicome Cornel Shirima akitoa mada katika semina hiyo.
Mkurugenzi Mafunzo ya Ualimu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Bakari Issa akitoa mada katika semina hiyo.
Peter Mlimahadala kutoka Chama cha Walimu Tanzania akichangia mada katika semina hiyo. 
 Mratibu wa TEN/MET, Anthony Mwakibinga.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad