Mwishoni mwa wiki iliyopita ilikuwa ni sherehe ya kuazimisha siku ya kuzaliwa Oktoba 4, 2014 kwa mwanadada Sophia Nyagasha ambaye ni mfanyakazi wa Airtel Tanzania (Kulia mwenye nguo nyeupe) ambapo hafla hiyo fupi iliweza kufana ndani ya Kiota cha Maraha cha High Spirit Lounge iliyopo jijini Dar.
Shangwe za marafiki katika hafla hiyo.
Wapendanao nao walikuwepo.
Ilikuwa ni furaha maana wafanyakazi wa Airtel Tanzania walipokutana pamoja kumpongeza mwenzao.
Shampeni ikigawiwa.
Ilikuwa ni shangwe kwa marafiki ambao waliungana nae.
Cheers!
Tunywe kwa afya...
Bibie Sophia Nyagasha akimtambulisha mchumba wake mbele ya marafiki.
My faves handbags on Sale..
-
I am one of those people love handbags. Designers, non designers, I am a
sacker of a quality handbag but in very affordable prices. So when Tumore
prosta...
Jinsi ya Kukuza Biashara
-
*Dar es Salaam.* Waswahili wanasema polepole ndio mwendo na mtaka cha
uvunguni sharti ainame. Hiyo ni misemo inayoakisi maisha ya Senkondo
Mashaka (23), ...
FASIHI ANDISHI-KWA KIDATO CHA TATU NA NNE.
-
*Mwalimu wa Kiswahili*
1.Fasihi hubeba yote anayoibusha binadamu katika maisha yake ya kila
siku.Jadili kauli hii kwa mifano- Maudhui (Dhamira)
2.Fasihi ...
No comments:
Post a Comment