Wataalamu wa sekta ya mawsiliano wakiwa katika majadiliano katika
mkutano wa masuala ya TEHAMA ‘Connect-to-Connect Summit’ unaofanyika
jijini Dar es Salaam.
Wataalamu wa sekta ya mawsiliano wakiwa katika majadiliano katika
mkutano wa masuala ya TEHAMA ‘Connect-to-Connect Summit’ unaofanyika
jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, Prof. John Nkoma
(kushoto) akiwa na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania
(TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura wakiwa katika mkutano huo.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha
Kazaura (kushoto) akiwa na Mkuu wa Kitengo cha Ufundi cha TTCL, Senzige
Kisenge (kulia) wakifuatilia mada anuai zinazowasilishwa katika mkutano
huo unaofanyika jijini Dar es Salaam.
Wa pili kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania
(TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura, akizungumza na Waziri wa Mawasiliano na
Huduma za Posta wa Sudan Kusini, Rebecca Okaci (wa tatu kulia) viongozi
hao pamoja na maofisa kutoka sekta hiyo walikutana kimazungumzo ya
kuangalia namna ya kushirikiana katika utendaji kazi. Mkutano huo
umeandaliwa na TTCL kwa kushirikiana na Wizara ya Mawasiliano, Sayansi
na Teknolojia.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha
Kazaura (katikati) akijadiliana jambo na Waziri wa Mawasiliano na Huduma
za Posta wa Sudan Kusini, Rebecca Okaci (wa pili kulia). Wa kwanza
kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Ufundi cha TTCL, Senzige Kisenge.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha
Kazaura (kushoto) akijadiliana jambo na Waziri wa Mawasiliano na Huduma
za Posta wa Sudan Kusini, Rebecca Okaci (katikati). Wa kwanza kulia Mkuu
wa Kitengo cha Ufundi cha TTCL, Senzige Kisenge.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha
Kazaura na Waziri wa Mawasiliano na Huduma za Posta wa Sudan Kusini,
Rebecca Okaci (mwanamama pichani) wakiwa katika picha ya pamoja mara
baada ya mazungumzo yao juu ya ushirikiano kikazi. Wengine ni maofisa
waandamizi kutoka pande zote wa sekta ya mawasiliano.
Baadhi ya washiriki katika mkutano wa masuala ya TEHAMA
‘Connect-to-Connect Summit’ wakifuatilia mada mbalimbali
zilizowasilishwa leo ikiwa ni siku ya pili ya mkutano huo unaofanyika
jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki katika mkutano wa masuala ya TEHAMA
‘Connect-to-Connect Summit’ wakifuatilia mada mbalimbali
zilizowasilishwa leo ikiwa ni siku ya pili ya mkutano huo unaofanyika
jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki katika mkutano wa masuala ya TEHAMA
‘Connect-to-Connect Summit’ wakifuatilia mada mbalimbali
zilizowasilishwa leo ikiwa ni siku ya pili ya mkutano huo unaofanyika
jijini Dar es Salaam.
SINGIDA WAANZA KUTOA CHANJO YA SARATANI YA MLANGO WA UZAZI KWA WASICHANA
178,114.
-
Mkoa wa Singida umezindua rasmi zoezi la utoaji wa chanjo wa Saratani la
mlango wa uzazi kwa wasichana mwenye umri kati ya miaka Tisa hadi 14 ambapo
Wasi...
14 hours ago
No comments:
Post a Comment