TUTAKUKUMBUKA DAIMA : TASWIRA MBALI MBALI ZA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE ENZI ZA UHAI WAKE - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


14 Oct 2014

TUTAKUKUMBUKA DAIMA : TASWIRA MBALI MBALI ZA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE ENZI ZA UHAI WAKE

Mwalimu akisalimiana na Rais Iddi Amini Dadah wa Uganda wakati wa kikao cha OAU mjini Addis Ababa, Ethiopia enzi hizo. Kushoto kwa Mwalimu ni Waziri wa Mambo ya Nje Mhe John Malecela
Mwalimu akiwa na mume wa Malkia wa Uingereza, Prince Philip
Mwalimu akimlaki Waziri Mkuu wa wa Kwanza wa China Chou Enlai ambaye mtindo wake wa mashati ilirithiwa na Watanzania na kujulikana kama Chunlai
Mwalimu katika mazungumzo na Rais Iddi Amin Dadah wa Uganda. Kushoto ni Mama Maria Nyerere
Mwalimu Nyerere alkiongoza matembezi ya kuunga mkono Azimio la Arush
Familia ya Mwalimu Nyerere
Picha rasmi ya Mwalimu na Mama Maria Nyerere
Mwalimu na Madiba
Mwalimu na Mhe John Samwel Malecela
Mwalimu akimkumbatia Jakaya Mrisho Kikwete baada ya kutoa hotuba ya kukubali matokeo ya Urais alipogombea kwa mara ya kwanza mwaka 2005. Mhe Benjamin Mkapa alishinda
Mwalimu  na Mama Maria Nyerere. Kwa picha zaidi Bofya Hapa >>>

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad