Siasa Zetu: Ziara ya Kinana na Ujumbe wake Wilayani Nachingwea - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


20 Nov 2014

Siasa Zetu: Ziara ya Kinana na Ujumbe wake Wilayani Nachingwea


 Kikundi cha Wakulima cha Umoja Rika wakiinua majembe juu kama ishara ya kumkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana aliyefika kwenye shamba hilo la ushirika la Mkotokuyana wilaya ya Nachingwea.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wakulima wa kikundi cha Umoja Rika kilichopo Mkotokuyana ,Nachingwea.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasalimia wakulima wa kikundi cha Umoja Rika kilichopo Mkotokuyana,Nachingwea mkoani Lindi.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiendesha treka kulima shamba la ushirika la Mkotokuyana huku akiwa amempakia Mbunge wa Jimbo la Nachingwea Ngugu Mathias Chikawe.
  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kung'oa visiki katika shamba la Mkotokuyana  wilayani Nachingwea.

 Sehemu ya shehena ya Korosho. 

  Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiangalia korosho kwenye ghala ambalo hapo awali ilikuwa kiwanda cha korosho cha Nachingwea .
 Kiwanda cha Mafuta ya Ufuta Ilulu Nachingwea ambacho sasa kinatumika kama ghala ya kuhifadhia vifaa vya umeme.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi wa kijiji cha Mandai ambao walieleza shida ya maji,zahanati pamoja na ofisi ya Serikali .

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad