Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akifungua mkutano wa 17 wa kitaifa wa Taasisi za Fedha kuhusu
changamoto na fursa katika suala zima la uboreshaji sekta ya kilimo hasa
kwa wakulima wadogo wadogo, mkutano huo ulifanyika Novemba 23-2014
katika ukumbi wa mikutano wa AICC Arusha.
Washiriki
wa mkutano wa 17 wa kitaifa wa Taasisi za Fedha kuhusu changamoto na
fursa katika suala zima la uboreshaji wa Sekta ya kilimo wakimsikiliza
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed
Gharib Bilal, alipokuwa akifungua mkutano huo Novemba 23-2014 katika
ukumbi wa mikutano wa AICC Arusha.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal katika Picha ya Pamoja na Washiriki
wa mkutano wa 17 wa kitaifa wa Taasisi za Fedha kuhusu changamoto na
fursa katika suala zima la uboreshaji wa Sekta ya kilimo.
Mhe. Dkt. Mohammed Gharib
Bilal akisalimiana na Mzee Edwin Mtei katika
ukumbi wa mikutano wa AICC Arusha.Picha na OMR
No comments:
Post a Comment