Nakupongezeni sana Clouds Media Group : Happy birthday Clouds FM, leo ni miaka 15 ya kuzaliwa, Masoud Kipanya na Fina Mango watinga mjengoni - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


2 Dec 2014

Nakupongezeni sana Clouds Media Group : Happy birthday Clouds FM, leo ni miaka 15 ya kuzaliwa, Masoud Kipanya na Fina Mango watinga mjengoni


66cldsfmDecember ni mwezi ambao Clouds Fm inasherehekea siku yake ya kuzaliwa ambapo leo vipindi mbalimbali vya Clouds Fm vimekuwa na ugeni tofauti tofauti ikiwemo Power Breakfast ambayo imemuhoji MD Joseph Kusaga alieelezea changamoto mbalimbali walizokutana nazo kwenye hii miaka 15 ya Clouds FM na mafanikio pia.
Wengine ni waliokuwa watangazaji wa Power Breakfast Masoud Kipanya na Fina Mango ambapo leo walikua live kwenye Power Breakfast, ambapo kwenye Leo Tena kuna ugeni wa Khadija Kopa, Diamond Sound na Tx Junior.
1cldsfm
3cldsfm
Mkurugenzi wa Clouds Media Group Bw. Joe Kussaga akiwa na Gerald Hando

9cldsfm
Joe Kussaga Akizungumza katika kipindi cha Power Breakfast


16cldsfm
Masoud Kipanya na Fina Mango


20cldsfm
Watangazaji waliokuwa wakikiongoza Vema kipindi cha Powerbreakfast miaka ya nyuma , Masoud Kipanya, Fina Mango na Gerald Hando

22cldsfm
26cldsfm
25cldsfm
24cldsfm
Masoud Kipanya , Husna Abdul na Fina Mango

28cldsfm

35cldsfm

45cldsfm
Suka akiwa selfie isha Tira Philip na mwenzake....

48cldsfm
Muonekano wa Studio za Clouds fm, Kutoka Kushoto ni Barbara Hassan, MD Ruge Mutahaba , Joe Kussaga na Gerald Hando

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad