Matukio Kimataifa : Dk. Jakaya Kikwete Ahamasisha Mchango wa dola Bilioni 7.5 kwa Ajili ya chanjo ya Watoto kwa nchi Maskini Duniani - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


30 Jan 2015

Matukio Kimataifa : Dk. Jakaya Kikwete Ahamasisha Mchango wa dola Bilioni 7.5 kwa Ajili ya chanjo ya Watoto kwa nchi Maskini Duniani


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Mwenyekiti Mwenza wa Bill&Melinda Gates Foundation, Bw. Bill Gates, huku Waziri wa Maendeleo ya Uchumi wa Ujerumani Bw. Gerd Muller, Rais wa Mali Mhe. Ibrahim Boubacar Keïta jijini Berlin, Ujerumani, wakati wa chakula cha jioni cha mazungumzo na harambee ya kuchangisha fedha katika mkutano wa kimataifa wa kujadili na kuchangia upya juhudi za kimataifa za taasisi ya Global Alliance for Vaccines and Immunisation (GAVI) ambayo imefanya kazi kubwa ya kusambaza chanjo duniani ambapo mpaka sasa watoto milioni 500 wamepata chanjo za kuzuia magonjwa mbali mbali na wengine milioni saba wameokolewa katika hatari ya kupoteza maisha.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika hatua mbalimbali za mkutano wa kimataifa wa kujadili na kuchangia upya juhudi za kimataifa za taasisi ya Global Alliance for Vaccines and Immunisation (GAVI) ambayo imefanya kazi kubwa ya kusambaza chanjo duniani ambapo mpaka sasa watoto milioni 500 wamepata chanjo za kuzuia magonjwa mbali mbali na wengine milioni saba wameokolewa katika hatari ya kupoteza maisha.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Kansela Angela Merkel wa Ujerumani, Rais wa Mali Mhe Ibrahim Boubacar Keïta, Waziri Mkuu wa Norway Mhe. Erna Solbergna Mwenyekiti Mwenza wa Bill&Melinda Gates Foundation, Bw. Bill Gates, wakiwa jijini Berlin, Ujerumani, kabla ya kuanza kwa mkubwa wa kuchangisha fedha katika mkutano wa kimataifa wa kujadili na kuchangia upya juhudi za kimataifa za taasisi ya Global Alliance for Vaccines and Immunisation (GAVI) ambayo imefanya kazi kubwa ya kusambaza chanjo duniani ambapo mpaka sasa watoto milioni 500 wamepata chanjo za kuzuia magonjwa mbali mbali na wengine milioni saba wameokolewa katika hatari ya kupoteza maisha.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika hatua mbalimbali za mkutano wa kimataifa wa kujadili na kuchangia upya juhudi za kimataifa za taasisi ya Global Alliance for Vaccines and Immunisation (GAVI) ambayo imefanya kazi kubwa ya kusambaza chanjo duniani ambapo mpaka sasa watoto milioni 500 wamepata chanjo za kuzuia magonjwa mbali mbali na wengine milioni saba wameokolewa katika hatari ya kupoteza maisha.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Kansela Angela Merkel wa Ujerumani, Rais wa Mali Mhe Ibrahim Boubacar Keïta, Waziri Mkuu wa Norway Mhe. Erna Solbergna Mwenkekiti Mwenza wa Bill&Melinda Gates Foundation, Bw. Bill Gates, wakiwa jijini Berlin, Ujerumani, wakati wa chakula cha mchana cha mazungumzo baada ya kumalizika kwa mkubwa wa kuchangisha fedha katika mkutano wa kimataifa wa kujadili na kuchangia upya juhudi za kimataifa za taasisi ya Global Alliance for Vaccines and Immunisation (GAVI) ambayo imefanya kazi kubwa ya kusambaza chanjo duniani ambapo mpaka sasa watoto milioni 500 wamepata chanjo za kuzuia magonjwa mbali mbali na wengine milioni saba wameokolewa katika hatari ya kupoteza maisha.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Kansela Angela Merkel wa Ujerumani, baada ya kumalizika kwa mkubwa wa kuchangisha fedha katika mkutano wa kimataifa wa kujadili na kuchangia upya juhudi za kimataifa za taasisi ya Global Alliance for Vaccines and Immunisation (GAVI) ambayo imefanya kazi kubwa ya kusambaza chanjo duniani ambapo mpaka sasa watoto milioni 500 wamepata chanjo za kuzuia magonjwa mbali mbali na wengine milioni saba wameokolewa katika hatari ya kupoteza maisha.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akibadilishana mawazo na Mwenyekiti Mwenza wa Bill & Melinda Gates Foundation, Bw. Bill Gates wakati wa chakula cha mchana cha mazungumzo na kuhusu kuchangisha fedha katika mkutano wa kimataifa wa kujadili na kuchangia upya juhudi za kimataifa za taasisi ya Global Alliance for Vaccines and Immunisation (GAVI) ambayo imefanya kazi kubwa ya kusambaza chanjo duniani ambapo mpaka sasa watoto milioni 500 wamepata chanjo za kuzuia magonjwa mbali mbali na wengine milioni saba wameokolewa katika hatari ya kupoteza maisha.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika hatua mbalimbali za mkutano wa kimataifa wa kujadili na kuchangia upya juhudi za kimataifa za taasisi ya Global Alliance for Vaccines and Immunisation (GAVI) ambayo imefanya kazi kubwa ya kusambaza chanjo duniani ambapo mpaka sasa watoto milioni 500 wamepata chanjo za kuzuia magonjwa mbali mbali na wengine milioni saba wameokolewa katika hatari ya kupoteza maisha.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea tuzo ya GAVI toka kwa mwenyekiti wa Bodi wa taasisi hiyo Bw. Dagfinn Høybråten kutokana na mchango wakd mkubwa katika kuundwa na hatimaye kusimia utekelezaji wa mipango ya GAVI hata kufanikisha upya juhudi za kimataifa za taasisi ya Global Alliance for Vaccines and Immunisation (GAVI) ambayo imefanya kazi kubwa ya kusambaza chanjo duniani ambapo mpaka sasa watoto milioni 500 wamepata chanjo za kuzuia magonjwa mbali mbali na wengine milioni saba wameokolewa katika hatari ya kupoteza maisha.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishukuru baada ya kupokea tuzo ya GAVI toka kwa mwenyekiti wa Bodi wa taasisi hiyo Bw. Dagfinn Høybråten kutokana na mchango wakd mkubwa katika kuundwa na hatimaye kusimia utekelezaji wa mipango ya GAVI hata kufanikisha upya juhudi za kimataifa za taasisi ya Global Alliance for Vaccines and Immunisation (GAVI) ambayo imefanya kazi kubwa ya kusambaza chanjo duniani ambapo mpaka sasa watoto milioni 500 wamepata chanjo za kuzuia magonjwa mbali mbali na wengine milioni saba wameokolewa katika hatari ya kupoteza maisha.PICHA NA IKULU.
-------------  ------------    ------------

Hundreds of millions of children living in the world’s poorest countries will receive life-saving vaccines as a result of record-breaking financial commitments made at the Gavi Pledging Conference, hosted in Berlin by German Federal Chancellor Angela Merkel.

The new pledges, totalling US$ 7.5 billion, will enable countries to immunise an additional 300 million children, leading to 5 to 6 million premature deaths being averted and economic benefits of between US$ 80 and US$ 100 billion for developing countries through productivity gains and savings in treatment and transportation costs and caretaker wages.

Chancellor Merkel was joined in Berlin by H.E. Dr Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania, and H.E. Mr Ibrahim Boubacar Keïta, President of the Republic of Mali, Erna Solberg, Prime Minister of Norway, Donald Kaberuka, President of the African Development Bank, Bill Gates, Co-Chair of the Bill & Melinda Gates Foundation, ministers from more than 20 implementing and donor countries, civil society groups, CEOs of vaccine manufacturing companies, UN agencies and others who came together to secure commitments to fully fund Gavi-supported immunization programmes in developing countries between 2016 and 2020.

“Thanks to the joint commitments of developing countries, development partners, vaccine manufacturers and others, Tanzania is making great strides in protecting its children through immunisation,” said President Kikwete of Tanzania.

“The health and wellbeing of our children should always be our highest priority and in the future Tanzania will be able to fully support its own immunisation programmes. Until that time I am pleased that the Gavi partners continue to recognise the importance of the work to improve immunisation around the world.”

“We are pleased to be working with Gavi to ensure our children – including those living in the most remote and inaccessible areas – are protected with modern, effective vaccines,” said President Keïta.

“Thanks to today’s historic pledges, children in Mali and around the world will have the opportunity to enjoy a healthy future through the power of immunisation.”

In her statement at the conference, the first event of Germany’s G7 presidency, Chancellor Merkel said: “There is a long way still to go but today’s conference is an important milestone in the work of Gavi for the next few years to come. Please let us not fail, let us not lose courage but continue to put all our efforts into this wonderful work and thank all of those who are committed to this goal.”

“Today is a great day for children in the world’s poorest countries who will now receive the life-saving vaccines they need,” said Bill Gates. “We believe in the next 15 years, poor people’s lives will improve faster than any other period in history and that access to vaccines provided by Gavi are critical to making that happen.

” We believe in the next 15 years, poor people’s lives will improve faster than any other period in history and that access to vaccines provided by Gavi are critical to making that happen. Bill Gates, Co-Chair of the Bill & Melinda Gates Foundation The Gavi Pledging Conference, which was opened by Germany’s Federal Minister of Economic Cooperation and Development, Gerd Müller, saw unprecedented engagement from donors, with many deciding to double or even triple their commitments to support Gavi in what will be its highest period of financial need.

China, Oman, Qatar and Saudi Arabia made pledges to Gavi for the first time. China’s pledge means that all BRICS countries are now making financial contributions towards childhood immunisation through Gavi.

Developing countries are also increasing their financial contributions towards immunisation.

Between 2016 and 2020, Gavi forecasts that implementing countries will allocate a combined total of around US$ 1.2 billion, which is additional to the funding provided by donors, towards their Gavi-supported programmes through the Alliance’s co-financing policy. This country ownership is vital to increasing the long-term sustainability of vaccine programmes.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad