Teknolojia na Maisha : Wanafunzi wa shahada ya uzamivu (PhD) katika maswala ya Computer kutoka Chuo cha Nelson Mandela walipokuwa Terrat, Simanjiro - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


30 Mar 2015

Teknolojia na Maisha : Wanafunzi wa shahada ya uzamivu (PhD) katika maswala ya Computer kutoka Chuo cha Nelson Mandela walipokuwa Terrat, Simanjiro

 Na Laltaika Eliamani Laltaika - NM-AIST, Arusha

Celebrating Pioneer ICT education in rural Maasailand: Distinguished PhD Students in ICT from the Nelson Mandela African Institution of Science and Technology NM-AIST traveled to Terrat Village in Simanjiro over the weekend (Saturday 28th March) to congratulate 25 young Maasai men and women on completion of their Computer training course offered by the Terrat based Computer and Vocational Training Institute. It was humbling to be guest of honor at this historic moment./ Wanafunzi wa shahada ya uzamivu (PhD) katika maswala ya Computer kutoka Chuo cha Nelson Mandela walipokuwa Terrat, Simanjiro mwishoni mwa wiki kuwapongeza wahitimu 25 wa kozi ya computer inayotolewa na chuo cha computa na ufundi stadi cha Terrat. Kwa unyenyekevu mkubwa nilikuwa mgeni rasmi katika hafla hii ya kihistoria.

With retired District Commissioner James K. Millya (left) and DC for Kankonko, Kigoma Hon. Peter Toima
 Speech by the Guest of Honor/Hotuba ya mgeni rasmi : Laltaika Eliamani Laltaika
 Academic Procession/Msafara wa kitaaluma
 Representative of NM-AIST/Mwakilishi wa Nelson Mandela
 Inspiration unlimited, Scientist from Mandela/Mwanasayansi kutoka Nelson Mandela akiwapa hamasa wahitimu
 President of the NM-Women Association in Science, Technology, Engineering and Mathematics NM-WASTEM
 Parents and other invitees/Wazazi na wahitimu wengine
 Celebratation/Shamra shamra
Group photo/picha ya pamoja

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad