Matukio : Waziri Mkuu Mizengo Pinda Atembelewa na Mtoto Albert, Kupiga nae Picha - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


27 May 2015

Matukio : Waziri Mkuu Mizengo Pinda Atembelewa na Mtoto Albert, Kupiga nae Picha


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na mtoto Albert Kanan wa darasa la tatu katika shule ya msingi ya Ilalangulu wilayani Mlele ambaye alikwenda nyumbani kwa Waziri Mkuu katika kijiji cha Kibaoni akiomba kupiga naye picha. (Picha na Ofisi ya Waziri Mku)

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad