Kampeni za UKAWA : Lowassa ndani ya Viwanja vya Mwembe Yanga Temeke, Jijini Dar - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


3 Oct 2015

Kampeni za UKAWA : Lowassa ndani ya Viwanja vya Mwembe Yanga Temeke, Jijini Dar

 Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na umoja wa vyama vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD, Edward Lowassa akihutubia umati wa watu uliojitokeza majira ya saa tano asubuhi katika viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar es Salaam.

Waangalizi kutoka Jumuiya ya Ulaya EU wakiwa katika mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa Chadema uliofanyika kwenye Uwanja wa Mwembe Yanga leo majira ya saa tano asubuhi, mgombea huyo anaungwa mkono na vyama vinne vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD. (Picha na Francis Dande)

 Tambwe Hiza akihutubia katika mkutano huo.
 Mgombea ubunge jimbo la Temeke, Abdallah Mtolea.
 Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye akihutubia mkutano wa hadhara katika uwanja wa Mwembe Yanga Temeke Dar es Salaam.
  Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye akihutubia mkutano wa hadhara katika uwanja wa Mwembe Yanga Temeke Dar es Salaam.
Umati wa watu ukiwa katika mkutano huo.
 Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na umoja wa vyama vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD, Edward Lowassa akihutubia umati wa watu uliojitokeza majira ya saa tano asubuhi katika viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar es Salaam.
 Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na umoja wa vyama vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD, Edward Lowassa akihutubia umati wa watu uliojitokeza majira ya saa tano asubuhi katika viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar es Salaam. 
 Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na umoja wa vyama vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD, Edward Lowassa akihutubia umati wa watu uliojitokeza majira ya saa tano asubuhi katika viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar es Salaam. 
 Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na umoja wa vyama vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD, Edward Lowassa akihutubia umati wa watu uliojitokeza majira ya saa tano asubuhi katika viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar es Salaam.

  Umati wa watu ukiwa katika mkutano huo.

 Umati wa watu ukiwa katika mkutano huo.
 Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na umoja wa vyama vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD, Edward Lowassa akimtambulisha mgombea ubunge jimbo la Temeke, Abdallah Mtolea.
  Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na umoja wa vyama vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD, Edward Lowassa akitoka katika viwanja vya Mwembe Yanga.
  Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na umoja wa vyama vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD, Edward Lowassa akitoka katika viwanja vya Mwembe Yanga.
  Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na umoja wa vyama vya Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi na NLD, Edward Lowassa akitoka katika viwanja vya Mwembe Yanga.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad